Pages

Thursday, October 23, 2014

Mt.Ukombozi wakiagana

Wanafunzi wa chuo cha Mount Ukombozi Heath Sciences Training Centre. waliandaa sherehe fupi kuwaaga wenzao mnamo 03/10/2014
 Rais wa chama cha wafanyakazi wa Maabara Tanzania Ndugu Mrina (katikati) akikabidhi vyeti kwa wahitimu wa fani ya maabara ngazi ya cheti kushotokwake ni Raisi wa chama cha wanafunzi wa fani ya maabara Tanzania Ndugu Ambele Eliah





No comments:

Post a Comment