Ziara ya SOUTHERN HIGHLANDS ZONE ilianza kwa Vice President Hon. Mololo Noah kufika Chuo cha afya Mbalizi September 2016 kwa lengo la Kukitangaza chama na kuwaunganisha wanachuo katika chama chao.
![]() |
10 Medical Lab student with Vice President Mololo Noah(mwenye t-shirt) alipofika Chuo cha Afya Mbalizi Mbeya. |
![]() |
Mbalizi 2015-2017 Student wakiwa na mkuu wao wa chuo Mwl.Shukuru. |
1.Litembo college-Songea
2.GAGETI college -Mafinga
3.Amenye college-Mbeya
4.Mbalizi college -Mbeya
5.Tandabui college-Mwanza (walikuwepo Mbeya kwa ajili ya kufanya mitihani yao).
![]() |
Wanafunzi wa vyuo vitano kwa mchanganyiko walipokutana na National Treasurer katika chuo cha Amenye (AMENYE COLLEGE OF HEALTH SCIENCES)-Mbeya. |
Baaada ya kikao cha Mbeya , Tarehe 12/10/2016 safari ya uhamasishaji iliendelea mpaka mkoa wa Njombe katika chuo cha Lugarawa.
Mtunza haizna wetu wa Taifa aliweza kutembelea tawi hilo....Asanteni sana Lugarawa kwa mapokezi ya nguvu.
![]() |
Mtunza hazina wa Taifa Dada Matilda Nyoni akifafanua baadhi ya mabo na kujibu maswali ya wanachuo wa RUCU. |
![]() |
Tawi kubwa na kongwe la Rucu wakisikiliza hotuba ya Mtunza hazina wa Taifa baada ya kipindi cha mwaka mmoja bila uongozi wa tawi. |
![]() |
Dr Mgimwa (Vice Chancellor wa RUCU) akishukuru uongozi wa Taifa kumtembelea chuoni kwake. |
Ziara zote zilikuwa na mafanikio makubwa ........MWANZA, MOSHI, TANGA, SINGIDA, TABORA ....TUTAKUFIKIA!
!VIVA TAMELASA VIVA!